KUNANI PALE TGA
Senior Member
- Feb 6, 2009
- 138
- 7
Habari wakuu,naomba nijue mshahara wa daktari bingwa(masters) kwa tanzania ni ngapi in private and public,na kuna channel zozote za kupata kazi?naomba nihabarishwe,asanteni.
Habari wakuu,naomba nijue mshahara wa daktari bingwa(masters) kwa tanzania ni ngapi in private and public,na kuna channel zozote za kupata kazi?naomba nihabarishwe,asanteni.
Jamani hapa mdau anauliza kwa specialist ni hw much? kwasasa wengi wanaanzia (specialist) wanaanzia 2.5 million.