Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na wale waliosukuma gari ya jairo bado kupata? No wonder mtumishi mmoja wa umma aliniambia nimkopeshe ela kidogo, nikashangaa wakati wao ndo wa kwanza kabla ya sisi sekta binafsi. wavumilie kidogo, ushabiki wao wakiwa huko unawaponza sasa
Mkuu, mimi ni kati ya wale waliosukuma gari la Jairo, lakini sijaona hata senti tano imeingia kwenye akaunti yangu mpaka tarehe ya leo. Ninaapa sitafanya tena kibarua kisicho na malipo cha kusukuma gari la mwanaume mwingine wakati yeye na familia yake wanashiba siku zote.Kwani hawa jamaa bado hawajalipwa tu mshahara wao wa November???
Mkuu, mimi ni kati ya wale waliosukuma gari la Jairo, lakini sijaona hata senti tano imeingia kwenye akaunti yangu mpaka tarehe ya leo. Ninaapa sitafanya tena kibarua kisicho na malipo cha kusukuma gari la mwanaume mwingine wakati yeye na familia yake wanashiba siku zote.