Mshahara tayari kwa watumishi wa umma

Acha uongo kama hujui kitu sema, halafu ni wajibu wa serikali kulipa mshahara watumishi wake wala halihitaji pongezi

Najua ni wajibu kwa mstarabu yeyote kushukuru, mama au mke ni wajibu wake kupika lakini mtu au mtoto mstaarabu husema ahsante sasa sioni kosa langu.
 
mshahara ni haki ya mtumishi suala la kupongeza halipo hapa acha kutufundisha unyonge mkuu!

kupongeza si unyonge ni kushukuru ni kwa mstaarabu awaye yote. Mimi si muumini au kibaraka wa serikali ya Ccm ila inapobidi ni vema kukubali. Najua ni haki ya mfanyakazi kupata mshahara
 
acha utani wewe!!! umesababisa watu wa kampuni ya simu wapunguze kabalance kangu baada ya kukimbilia kuangalia salio.
 
Najua ni wajibu kwa mstarabu yeyote kushukuru, mama au mke ni wajibu wake kupika lakini mtu au mtoto mstaarabu husema ahsante sasa sioni kosa langu.

upo sawa ila sio wote wanaweza sema asante ila mimi sijaona kitu nimejipanga kivingine si unajua xmass si dhalula mkuu. mliopata hakika shukuruni make.
 
Acha uongo kama hujui kitu sema, halafu ni wajibu wa serikali kulipa mshahara watumishi wake wala halihitaji pongezi

Mzee wa rula usiwe mkali na kujifanya hujui.
Na kama hujui, mwezi wa novemba mishahara ilicheleweshwa mpaka tarehe 40 Nov.
Amewashukuru kwa nia njema.
 
Safi sana..Lakini swala la kushukuru la nini sasa, wangekuwa wanatoa mshahara na ki'note' cha kukushukuru kwa kufanya kazi sawa na sie tungestahili kuwashukuru kwa kutupa mshahara mapema...! Kazi yao hiyo haihitaji shukrani, kila mtu afanye wajibu wake!
 
Sema kwenu,bagamoyo kwa kikwete na kwa wazir wa elimu kama kawa hata dalilh hatujaskia,shukuru kivyako co ki wote.
 
Tusubili kesho,kama hakuna bc magamba hayajali watumishi wake kwenye sikukuu.
 
Back
Top Bottom