Mshahara huu kwenye kampuni ni haki?

hata kama salary ni ndogo kiasi gani wewe piga kazi husiangalie mshahara hipo siku utakuta mambo yamekuwa mazuri tu... Uvumilivu ni muhimu wana jf....!:mod:

asante sana, nasikia faraja kwa ushauri wako
 
1. Kampuni gani?
2. Wameajiliwa since lini?
3. Kuna chama cha wafanyakazi?
4. Ajira ni ya kudumu au temporary
Weka details vizuri kama unataka watu wakushauri!
 
Hivi hiyo sio kazi eti eehhh mbona mie mkewangu ni secretary tena ananizidi mshahara wakati mimi ni injinia??? Acha dharau kijana

We Engineer wa wapi unaezidiwa mshahara na secretary? Kama ni kweli jaribu kuchunguza uhusiano wa bosi na mkeo, si bure typist kulipwa zaidi ya Engineer wa aina yoyote ile.
 
Habari wanajf? Kuna campuny moja kubwa kwa jina hapa Tanzania na muhimu ktk nchiyetu. Chakushangaza ni kwamba tangu watuwaajiriwe hawaja sign contract, pili malipo kwa mwezi ni 105000Tsh Tu. Na wanalipa kwa cammission. Kazi ni ngumu kwani wawezapata wateja hata 600 kwa mwezi but wakiondoa dublication unaweza jikuta unabaki na wateja 300 kwa mwezi hapo kuna kukatwa NSSF,
Ni sawa kweli wana jf?

mficha uchi azai,hujataja ni kazi gn? Campuni gn? Mkataba wenu ulikuwaje/mlikubaliana shs ngp?,level yako ya elimu.eleza v2 kama msomi bana
 
Hata kama salary ni ndogo kiasi gani wewe piga kazi husiangalie mshahara hipo siku utakuta mambo yamekuwa mazuri tu... uvumilivu ni muhimu wana JF....!:mod:
Ahsante umenifariji nilikua na tatizo kama hilo ila kwa maneno yako umenitia moyo naamini ipo siku mvumilivu atakula mbivu kikubwa kumshirikisha Mungu tu.
 
Habari wanajf? Kuna campuny moja kubwa kwa jina hapa Tanzania na muhimu ktk nchiyetu. Chakushangaza ni kwamba tangu watuwaajiriwe hawaja sign contract, pili malipo kwa mwezi ni 105000Tsh Tu. Na wanalipa kwa cammission. Kazi ni ngumu kwani wawezapata wateja hata 600 kwa mwezi but wakiondoa dublication unaweza jikuta unabaki na wateja 300 kwa mwezi hapo kuna kukatwa NSSF,
Ni sawa kweli wana jf?

You don't have a contract, You have nothing to back you up literally.
 
1. Kama huna altenative fanya kazi kwa bidii tu maana haitasaidia kulalamika mitandaoni. Mlishakubaliana mshahara pigana kwa juhudi zako uongezewe either kwa bonus au basic salary.
2. Kwa sheria ya kazi ya tanzania mikataba ipo ya aina mbili kuandika au kwa maneno, na katika mikataba yote lazima muajiri akuulize yafuatayo:- jina lako, umri, akupe siku ya kuanza kazi, maslaji yako, job description, unapoishi, akutajie haki zako kwa mujibu wa sheria za kazi like masaa ya kazi.

Mimi nakushauri si vyema kutaja muajiri wako humu haitakusaidia kitu
Kama unahitaji msaada ni vizuri ukaomba wadau wakusaidie kupata kazi humu kwa kudadavua wasifu wako otherwise work hard siku moja itakulipa tu.
Hard work pay
 
Back
Top Bottom