Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,011
- 104,716
Mmakonde nakupa senksi
kinachoonekana hapa ni kundi la mafisadi wengine ambao labda nao wako katika mkondo huo huo wa kupata hizo fake Phds, sasa wanawashwa na Msemakweli.
Kama hutaka usisome, na TUC imewashauri wapeleke vyeti vyao kujisafisha sasa tatizo liko wapi, siwapeleke.
Na mwisho kama hilo halitoshi ili wajisafishe zaidi wanede mahakamani kumshitaki Msemakweli si kawachafua.
Acheni udwanzi wa kuteteana hapa ni mafisadi na Msemakweli Big Up, huu ni mwanzo mzuri, with spelling mistakes or not... ujumbe umefika loud and clear!!!
Wasalaam
Hii one track mind mentality ya "if you are not with us 100% you are against us 100%" ni medieval indeed.
Inawezekana kabisa kwa hawa vihiyo wenye PhD feki kuwa na makosa na huyu jamaa akawa msanii anayetafuta pa kutokea tu bila ya kuwa na kitu concrete.
I refuse to look at the world with the lens of inauthentic simplicity, however dramatic and appealing that may seem.