The Biggest IQ
Member
- Nov 24, 2010
- 54
- 3
Ni juzi tu Msekwa amerushwa bungeni na mbunge wa Ngorongoro kuwa anahusika katika ufisadi huko ''mbugani''sasa naona CCM wamemchunia tu wakati kwa kigezo hicho anasifa zote za kuingia kwenye familia ya ''mapacha watatu''na hivyo kujivua gamba.kama asipofanya hivyo basi na ''baba yangu''Lowasa asing'oke ng'o.