Msekwa: Nguvu ya Chadema ni kama TANU 1958

kapotolo

JF-Expert Member
Sep 19, 2010
3,727
2,214
  • Asema Kimepata Nguvu Mpya Baada ya Uchaguzi wa 2010
  • Akiri CCM kujisahau na Kubweteka baada ya 2005
  • Athibitisha Nape Kuomba fedha moja kwa moja kwa Mwenyekiti.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Pius Msekwa ameifananisha ari na nguvu ya Chadema na ile iliyokuwapo TANU wakati wa Vuguvugu la kudai Uhuru. Alisema 'kutokana na uzoefu wangu katika siasa, ushindani uliopn chini kati ya CCM na Chadema ni ushindani mkubwa na wenye Changamoto nyingi zikiwamo zile zinazoendana na wakati wa sasa'.

Amesema Chadema wamepata Nguvu hiyo baada ya kushinda viti vingi vya majimbo na kata. CCm walijisahau baada ya ushindi wa 80% mwaka 2005.

Pia Msekwa amethibitisha mara mbili Nape kuomba fedha moja kwa moja kutoka kwa mwenyekiti (JK) na mwenyekiti amekuwa akimpatia. kwa njia moja ama nyingine hili halikueleweka pale makao makuu, lakini pia mwenyekiti huwa ana pesa zake anazotumia kwa ajili ya kukiendesha chama.

Hata hivyo Nape amekanusha kuwahi kuomba pesa kutoka kwa mwenyekiti.


Habari kamili; Soma RAI July 26 - Aug 2.

Maoni yangu;
  • Anachokisema msekwa ni kweli na kama TANU ilivyoweza kumtoa mkoloni mweupe, Chadema itamtoa mkoloni mweusi - CCM
  • Shutuma za kwamba Nape anatumiwa na mwenyekiti kuidhoofisha kambi fulani zinaweza kuwa za kweli, hii inatokana na ukweli wa yeye kupewa pesa moja kwa moja na mwenyekiti, kitu ambacho si utaratibu wa chama na kimelalamikiwa makao makuu.
  • Nape asipende kukanusha kila kitu, sidhani kama mzee msekwa ana sababu yoyote ya kumsingizia nape kupokea Pesa moja kwa moja kutoka kwa JK.
 
CCM wanajua ukweli kuwa siku za kukaa kama chama kinachotawala zinahesabika na kinachofanyika sasa ni kuanza kutafuta nani mchawi kati yao.
Hakuna ubishi kuwa nguvu ya Chadema inazidi kukua na wananchi wanaipa support kubwa kutokana na kusimamia kwa dhati maslahi ya wananchi huku CCM ikizidi kukumbatia kulindana jambo ambalo linazidi kuiweka pabaya.
 
Nano black colonialism is cumming to an end. this is not a breaking news, it is a reality. What I know, leaving alone CCM, even CDM itself is underestimating its power. There is too much power in CDM Now.
 
  • Asema Kimepata Nguvu Mpya Baada ya Uchaguzi wa 2010
  • Akiri CCM kujisahau na Kubweteka baada ya 2005
  • Athibitisha Nape Kuomba fedha moja kwa moja kwa Mwenyekiti.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Pius Msekwa ameifananisha ari na nguvu ya Chadema na ile iliyokuwapo TANU wakati wa Vuguvugu la kudai Uhuru. Alisema 'kutokana na uzoefu wangu katika siasa, ushindani uliopn chini kati ya CCM na Chadema ni ushindani mkubwa na wenye Changamoto nyingi zikiwamo zile zinazoendana na wakati wa sasa'.

Amesema Chadema wamepata Nguvu hiyo baada ya kushinda viti vingi vya majimbo na kata. CCm walijisahau baada ya ushindi wa 80% mwaka 2005.

Pia Msekwa amethibitisha mara mbili Nape kuomba fedha moja kwa moja kutoka kwa mwenyekiti (JK) na mwenyekiti amekuwa akimpatia. kwa njia moja ama nyingine hili halikueleweka pale makao makuu, lakini pia mwenyekiti huwa ana pesa zake anazotumia kwa ajili ya kukiendesha chama.

Hata hivyo Nape amekanusha kuwahi kuomba pesa kutoka kwa mwenyekiti.


Habari kamili; Soma RAI July 26 - Aug 2.

Maoni yangu;
  • Anachokisema msekwa ni kweli na kama TANU ilivyoweza kumtoa mkoloni mweupe, Chadema itamtoa mkoloni mweusi - CCM
  • Shutuma za kwamba Nape anatumiwa na mwenyekiti kuidhoofisha kambi fulani zinaweza kuwa za kweli, hii inatokana na ukweli wa yeye kupewa pesa moja kwa moja na mwenyekiti, kitu ambacho si utaratibu wa chama na kimelalamikiwa makao makuu.
  • Nape asipende kukanusha kila kitu, sidhani kama mzee msekwa ana sababu yoyote ya kumsingizia nape kupokea Pesa moja kwa moja kutoka kwa JK.


Haya Nape leta ngonjera zako na wewe.
 
unaejua kweli na akashindwa kuisismamia kweli anamsononesha Mungu wake
 
Msekwa ameamua kuwa mkweli na kuepukana na dhambi ya urongo.

Amewahi kuambiwa atulie (apumzike) awaangalie wengine waendeshe mambo ya nchi kwani yeye amekuwa mzee (ilikuwa kwenye mdahalo wa katiba mpya na tanzania tunayoitaka)
sasa naona anaanza kulibaini hilo.
 
  • Asema Kimepata Nguvu Mpya Baada ya Uchaguzi wa 2010
  • Akiri CCM kujisahau na Kubweteka baada ya 2005
  • Athibitisha Nape Kuomba fedha moja kwa moja kwa Mwenyekiti.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Pius Msekwa ameifananisha ari na nguvu ya Chadema na ile iliyokuwapo TANU wakati wa Vuguvugu la kudai Uhuru. Alisema 'kutokana na uzoefu wangu katika siasa, ushindani uliopn chini kati ya CCM na Chadema ni ushindani mkubwa na wenye Changamoto nyingi zikiwamo zile zinazoendana na wakati wa sasa'.

Amesema Chadema wamepata Nguvu hiyo baada ya kushinda viti vingi vya majimbo na kata. CCm walijisahau baada ya ushindi wa 80% mwaka 2005.

Pia Msekwa amethibitisha mara mbili Nape kuomba fedha moja kwa moja kutoka kwa mwenyekiti (JK) na mwenyekiti amekuwa akimpatia. kwa njia moja ama nyingine hili halikueleweka pale makao makuu, lakini pia mwenyekiti huwa ana pesa zake anazotumia kwa ajili ya kukiendesha chama.

Hata hivyo Nape amekanusha kuwahi kuomba pesa kutoka kwa mwenyekiti.


Habari kamili; Soma RAI July 26 - Aug 2.

Maoni yangu;
  • Anachokisema msekwa ni kweli na kama TANU ilivyoweza kumtoa mkoloni mweupe, Chadema itamtoa mkoloni mweusi - CCM
  • Shutuma za kwamba Nape anatumiwa na mwenyekiti kuidhoofisha kambi fulani zinaweza kuwa za kweli, hii inatokana na ukweli wa yeye kupewa pesa moja kwa moja na mwenyekiti, kitu ambacho si utaratibu wa chama na kimelalamikiwa makao makuu.
  • Nape asipende kukanusha kila kitu, sidhani kama mzee msekwa ana sababu yoyote ya kumsingizia nape kupokea Pesa moja kwa moja kutoka kwa JK.

CCM kuishney
 
ukweli ni kwamba cdm wanatambua wajibu wao,wametoa elimu ya uraia ambapo watz waliowengi hawakuwa nayo,wameonesha njia kwa kutaja wahujum uchumi hadharani,wamehakikisha watz walioweng wanatambua haki zao ambao ccm haikuwahi kufanya,kuondoka madarakani hakuepukiki labda kucheleweshwe.ccm kinatafunwa na ubaguzi,waliamua kuishi kimtandao,kimakundi hivyo hawawezi kujirudi sasa is too late,kwa kweli wanaccm wamechanganyikiwa.lakini mzee msekwa kasema ukweli anaoujua lakini anaumia kutamka aliyotamka.
 
  • Asema Kimepata Nguvu Mpya Baada ya Uchaguzi wa 2010
  • Akiri CCM kujisahau na Kubweteka baada ya 2005
  • Athibitisha Nape Kuomba fedha moja kwa moja kwa Mwenyekiti.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Pius Msekwa ameifananisha ari na nguvu ya Chadema na ile iliyokuwapo TANU wakati wa Vuguvugu la kudai Uhuru. Alisema 'kutokana na uzoefu wangu katika siasa, ushindani uliopn chini kati ya CCM na Chadema ni ushindani mkubwa na wenye Changamoto nyingi zikiwamo zile zinazoendana na wakati wa sasa'.

Amesema Chadema wamepata Nguvu hiyo baada ya kushinda viti vingi vya majimbo na kata. CCm walijisahau baada ya ushindi wa 80% mwaka 2005.

Pia Msekwa amethibitisha mara mbili Nape kuomba fedha moja kwa moja kutoka kwa mwenyekiti (JK) na mwenyekiti amekuwa akimpatia. kwa njia moja ama nyingine hili halikueleweka pale makao makuu, lakini pia mwenyekiti huwa ana pesa zake anazotumia kwa ajili ya kukiendesha chama.

Hata hivyo Nape amekanusha kuwahi kuomba pesa kutoka kwa mwenyekiti.


Habari kamili; Soma RAI July 26 - Aug 2.

Maoni yangu;
  • Anachokisema msekwa ni kweli na kama TANU ilivyoweza kumtoa mkoloni mweupe, Chadema itamtoa mkoloni mweusi - CCM
  • Shutuma za kwamba Nape anatumiwa na mwenyekiti kuidhoofisha kambi fulani zinaweza kuwa za kweli, hii inatokana na ukweli wa yeye kupewa pesa moja kwa moja na mwenyekiti, kitu ambacho si utaratibu wa chama na kimelalamikiwa makao makuu.
  • Nape asipende kukanusha kila kitu, sidhani kama mzee msekwa ana sababu yoyote ya kumsingizia nape kupokea Pesa moja kwa moja kutoka kwa JK.

Natanguliza; ashaikhum si matusi. Kuna msemo wa kiswahili unasema KUFA KWA NYUMA MAVI HUTAWANYIKA. Naona ndiyo yanayoendelea katika chama tawala hapa nchini kwetu!

Ni wakati mwafaka kujadili zaidi NINI TUFANYE KUIOKOA NCHI na WATOTO na WAJUKUU ZETU wasijekuwa wanataja majina yetu kama matusi!
 
Hizi ni timing to za kuivizia CDM then wanaimaliza jumla. Hapa watamshangilia na wengi kujenga imani naye na kila anachokisema, baadaye atatumia mwanya huo kuwasambaratisha kwani tayari atakuwa ameshajijengea imani kwa wananchi. Kweli siasa ni GAME
 
Back
Top Bottom