Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
- Nimewasikia kupitia vyombo vya habari kwa nyakati tofauti Katibu Mkuu wa CCM Yusuph Makamba na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara wakisisitiza kuwa CCM ina Wanachama Million 5 na kuwa hizo kura wana uhakika nazo.
- Turudi Shule KidogoDouble registered voters to be prosecuted in law courts)
- Assume Tanzania ina Watu 43.2 Millioni
- Wanye Umri zaidi ya Miaka 18 ni 60% = 26 Million (NBS)
- Waliojiandikisha hadi sasa ni: 18 Million (NEC).
- Assume waliojiandikisha katika vyama vya siasa kama Wanachama ni 25% ya 26 Million = 6.5 Million (My guess kutokana na uzoefu wangu wa ushiriki wa watanzania katika siasa, naweza kusahihishwa kama kuna mwenye data)
- Kwa mtaji huo ina maana kama CCM inao 5 Million, upinzania una 1.5 Million.
- Dr. Slaa anadai kadhaminiwa na Wanachama wa Chadema 1.3 Million (Si mikoa yote).
- CUF inao wanachama wengi pia, 2005 lipumba alipata kura zaidi ya Laki 9. Huenda Wanachama wa CUF pia wameongezeka.