KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
Makamba; bila kujali siasa zake, ninamheshimu kwa kuweza kuweka wino kwenye karatasi. Sijawahi kusoma kitabu chake; lakini anastahili kupewa sifa kwa hilo. Sio Maprofesa na hawa wenye digrii za 'uvamizi' wengi tulio nao hapa Tanzania walishawahi hata kuandika gazetini tu.
heheee, ukweli lakini pia vile vile nimecheka !