Mwanamalundi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,125
- 1,432
Hivi punde tu, PIUS Msekwa amependekezwa na Kamati Kuu ya CCM kuwa mgombea pekee wa nafasi ya Umakamu Mwenyekiti, CCM. Hii ni kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika ndani ya CCM. Kwa habari zaidi katika picha, tembelea: http://mjengwa.blogspot.com
Pius msekwa tunakuombea baraka ufanikiwe kutwaa hiyo nafasi kama ulivyopendekezwa. Langu ni moja. Tumia nafasi hii kukinusuru chama katika dhoruba kali inayokikabili. Tumia hekima, busara, na uzoefu wako katika utumishi wa umma kumshauri kikwete na kupanga mikakati ya kupambana na rushwa inayo momonyoa uhai na maadili ya chama. Usisubiri mpaka utakapostaafu ndio uanze kutoa kashfa kama anavyofanya ndugu yetu mangula.
This will define your legacy!!!