figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Hii ni mara ya 8 naona habari za uongo kutoka newsroom, hiyo room ya gazeti la uhuru, habari zenu siwezi wapa mia yangu, nyie ni zero tu.
Mwee! Hiki kigazeti bado kipo tu? Nilifikiri lilishafutwa manake huku hakuna. Anyway, hata likifika hatuna pesa za kutupa (kulinunua).source: gazeti la uhuru, pg1
Kun watu wanaasema uhuru sio gazeti alafu hao hao wanasema chadema ianzishe gazeti na TV yake . Muelewe CDM wakiazisha gazeti litakuwa kama uhuru tu........
Umenichekesha sana sana mie nadhani kwenye siasa hakuna sheria ila kuna maamuzi ya mtu/kikundi fulani kwa manufaa yao..... kumbuka kwenye suala la uraia wa Bashe.........nanukuu "hata kama wao (wizara/waziri ya mambo ya ndani) wameona Bashe ni raia lakini sisi (CCM) tunamuona si raia' - Lt Y Magamba......Hii inaonyesha wazi kuwa Mkurugenzi na Madiwani waliofukuzwa kazi wana lao jambo. Kwa nafasi za kisiasa kama Udiwani, ubunge, uwaziri na nadhani hata rais, kwa katiba yetu akipokonywa uanachama wa chama kilichompa ticket nadhani anakuwa kapoteza na nafasi yake serikalini. sasa huyo mkurugenzi ataendeleaje kuwatambua hao?? hembu wanasheria mtusaidie kwenye hili!
Kumbe habari zenyewe zimetoka kwenye hiyo toilet paper inayoitwa uhuru, upuuzi mtupu