Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Katika hali ya kushangaza na kusikitisha jiji la mwaza linakabiliwa na hali mbaya baada ya Mamlaka inayohusika na usambazaji wa Dawa nchini kushindwa kusambaza dawa na vifaa vya kupimia virusi vya ukimwi katika hospitali zote za jiji la Mwanza. Makundi kadhaa ya watu hasa vijana kwa zaidi ya wiki moja sasa wamekuwa wakienda kwenye vituo vya kupimia bila mafanikio.
Inasadikiwa kuwa MSD hawana stock ya hizo dawa ambapo hilo limetokana na ufinyu wa bajeti kwenye wizara ya afya. Wote wanaotaka kupimwa wanashauriwa kwenda hospitali ya SEKOU TOURE au Bugando.
Nawasilisha
Inasadikiwa kuwa MSD hawana stock ya hizo dawa ambapo hilo limetokana na ufinyu wa bajeti kwenye wizara ya afya. Wote wanaotaka kupimwa wanashauriwa kwenda hospitali ya SEKOU TOURE au Bugando.
Nawasilisha