still i dont get it
Hukusikia na mashaili yake kila anapoimba anatoa na kicheko utadhani 2Pac!Leo nilikuwa namsikiliza JK.
kuna sehemu amenihuzunisha sana pale nilipomsikia anaimba
JK:"Daraja Daraja Daraja "
hicho kibwagizo kimenionyesha huyu mtu ni Msanii wa bongo flavor ila kakosea njia na kuingia kwenye siasa na ndio maana anaendesha nchi kisanii