mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 519
Msanii mkubwa maarufu mwenye jina katika bongo fleva O-ten ametuhumiwa kuiba simu alipokuwa kwenye show Geita amehojiwa mchana huu katika redio makini clouds fm amekiri kuchukua simu hiyo nokia tochi iliyokuwa ya dada wa gesti kwa madai kuwa hajalipwa na promota.na amedai kuwa hata wakienda polisi atawashinda kesi