OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Ndiyo wakuu! Kwa habari nilizo pata now ni kuwa Msnii wa bongo flava, Sumalii a.k.a Mzee wa hakunaga amefiwa na mama mzazi hospital ya Taifa mhimbili baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa kiharusi. Source- Radio cloudz news.