Baazigar
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 1,129
- 1,100
ata youtube umefungiwa kwa tzMhe...labda Wizara iwaandikie na YouTube maana ndio soko alilo target Snura...wasanii wengine wako too low
ata youtube umefungiwa kwa tzMhe...labda Wizara iwaandikie na YouTube maana ndio soko alilo target Snura...wasanii wengine wako too low
Chura alikua hadi anapiga pasi jamani
Alienda shule kusomea ujingaWangefungia huo wimbo tu. Angejirekebisha.
hata youtube wameifungiaJamani wengine hatujauona ngoja asubuhi niamkie Youtube
Kwahiyo ni halali kutangaza biashara yake ya ukahaba hadharani, wacha afungiwe tu!Hivi Sheria gani imetumika kumfungia Snura kutofanya kazi inayomuingizia kipato? Kwa hiyo wanataka awe mwizi au?
Kosa ni la kwake kwa kutengeneza video ambayo haina maadili.Wamemuonea tu, ye alishaonya kuhusu hiyo video, na alitupa u tube kwa maonyo kuwa asije na umri mkubwa asiifungue na alisema isipigwe katika tv stations na kwani haina maadili. Sasa kosa lake liko wapi?
Na zile ngoma za ajabu za tanga zifungiwe pia sijui wanasema laki si pesa. Chafu sana hadi inashangaza kuwa watu hawamuogopi Mungu. Hizo serikali haijaziona kweli? Tena hizo ni zaidi ya huyu chura.View attachment 344659
Katikati ni mkuu wa Kitengo cha mawasiliano wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Zawadi Msalla akiwa na maafisa wengine wakizungumza na waandishi wa habari.
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo leo imetangaza kumfungia Snura kujihusisha na masuala ya sanaa.
Pia imeufungia wimbo wake Chura pamoja na video yake kutochezwa kwenye redio na TV nchini.
Taarifa hiyo imetolewa na wizara hiyo kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika kwenye ukumbi wake wa mikutano wizarani hapo jijini Dar.
Akiongea na waandishi wa habari, Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano wa wizara hiyo, Zawadi Msalla, amewaonya watu kutousambaza wimbo huo kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo WhatsApp.
Amedai kuwa wale watakaokiuka agizo hilo watashtakiwa kwa kutumia sheria ya makosa ya mtandao.