huyo jamaa kipaji anacho kweli. Kuna mwingine aitwaye yoweri museveni ame wahi toa wimbo pia uitwayo u want another rapMie nampenda msanii aitwaye Jakaya Mrisho Kikwete. Napenda mavazi yake na wimbo wake maarufu wa maisha bora kwa wote. Napenda sinema yake ya Kilimo Kwanza huku nikivutiwa sana na mtindo wake wa matanuzi na kusaka umaarufu misibani. Ni msanii aliyebobea na mjasiriamali hasa nikikumbuka alivyoanzisha miradi kama EPA, Richmond na mingine mengi. Napenda staili yake ya kuigiza ambapo huwahusisha members wa familia yake hasa bi mkubwa. Pia napenda sana mipango yake ya Pwagu na Pwaguzi kuhusiana na hadhira yake. Ana mengi ya kupendwa kwayo.
Je, ni mwanamuziki ama msanii yupi kutoka afrika mashariki unayempenda zaidi? Toa sababu.
nimeipenda hii mkuu! sijui tulitokana wapi na ******!!Mie nampenda msanii aitwaye Jakaya Mrisho Kikwete. Napenda mavazi yake na wimbo wake maarufu wa maisha bora kwa wote. Napenda sinema yake ya Kilimo Kwanza huku nikivutiwa sana na mtindo wake wa matanuzi na kusaka umaarufu misibani. Ni msanii aliyebobea na mjasiriamali hasa nikikumbuka alivyoanzisha miradi kama EPA, Richmond na mingine mengi. Napenda staili yake ya kuigiza ambapo huwahusisha members wa familia yake hasa bi mkubwa. Pia napenda sana mipango yake ya Pwagu na Pwaguzi kuhusiana na hadhira yake. Ana mengi ya kupendwa kwayo.
kuna msanii anaitwa nape nnauye ni noma huyo..anaweza hata akapaka upepo rangi
Na aliyeanzisha thread atakuwa very disappointed. Sidhani kama kuna post iliyo-address post yake.