Dah pikipiki hizi jamani mmmh
Jamani mzee wa magumashi pole sana, Mungu atakuafu mapema tu usijali. Hata hivyo kama wewe upendi kuendesha gari uwe unamwita mdogo wako si yeye ni dreva wa mataxi na madala dala? awe anakuchukua safari zako tafadhari.
Pole sana.