kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
WASANII wa kikundi cha Jakaya Theater wamekumbwa na simanzi baada ya mkurugenzi wao kufariki dunia kwa kuangukiwa na kontena maeneo ya Kimara Resort jijini Dar es Salaam
Msanii huyo aliyefariki dunia ni Thomas Senzige [29] ambaye alikuwa muongozaji wa kikundi kinachorushwa mchezo unaoendelea sasa katika kituo cha televishen cha ITV
Senzige alipata ajali Jumamosi ya Mei 14 mwaka huu, majira ya jioni, katika eneo la Kimara Resort
Alipata ajali hiyo wakati alipokuwa akitokea kwenye kikao chake cha harusi na kuelekea kusherehesha sherehe katika ukumbi wa Resort na alikodisha pikipiki hilo akitokea maeneo ya Manzese na alikodisha pikipiki na alipofika eneo hilo waliangukiwa na kufunikwa na kontena lililokuwa na namba T 840 na kufariki dunia papohapo
Katika ajali hiyo pia dereva aliyekuwa akiendesha pikipiki aliyokodiwa Renatus aponali [25] alifariki dunia
Msanii huyo aliyefariki dunia ni Thomas Senzige [29] ambaye alikuwa muongozaji wa kikundi kinachorushwa mchezo unaoendelea sasa katika kituo cha televishen cha ITV
Senzige alipata ajali Jumamosi ya Mei 14 mwaka huu, majira ya jioni, katika eneo la Kimara Resort
Alipata ajali hiyo wakati alipokuwa akitokea kwenye kikao chake cha harusi na kuelekea kusherehesha sherehe katika ukumbi wa Resort na alikodisha pikipiki hilo akitokea maeneo ya Manzese na alikodisha pikipiki na alipofika eneo hilo waliangukiwa na kufunikwa na kontena lililokuwa na namba T 840 na kufariki dunia papohapo
Katika ajali hiyo pia dereva aliyekuwa akiendesha pikipiki aliyokodiwa Renatus aponali [25] alifariki dunia