Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Ni Mlasi Feruzi, mwanamuziki aliyekuwa akifanyia kazi na kundi la Jambo Survivors, mwimbaji wa kibao maarufu cha 'Maprosoo'. Anahojiwa na Masoud Masoud katika kipindi cha muziki wa kitambo hapa TBC Taifa, anadai kuwa alirogwa, na alikwenda kwa mganga wa kienyeji kutibiwa huko Ufipani, na baada ya kutibiwa kienyeji mganga akamwambia aende hospitali ya kawaida, akafanyiwa upasuaji na kutolewa khanga nzima ikiwa imekunjwa.
Kwa mara ya kwanza celeb anafunguka waziwazi kuhusu ushirikina.
Kwa mara ya kwanza celeb anafunguka waziwazi kuhusu ushirikina.