Wandugu nimemsikiliza Dr mara nyingi zaidi ya mara tano. Nahisi huu ni ushaidi tosha. sasa kova anapeleleza nini? waache kutudanganya watanazania eti wanafanya upelelezi , upelelezi wa nini?
shame on them forever .
tumeambiwa hilo swala liko mahakamani na mtuhumiwa ameshakamatwa..hawahitaji ushahidi wa ulimboka maana upelelezi wa polisi ndio wa mwisho na mtuhumiwa ameconfess mwenyewe...hiyo kwa bongo inatosha kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.