Msamiati wa kiswahili wenye maana ya dragon

moto2012

Kwa mujibi wa Kamusi ya TUKI

dragon = dragoni; zimwi; mnyama mtambaachi mkubwa wa kubuni (mwenye mbawa na kucha, na daima hupumua moto).
dragon's blood n gundi nyekundu; (colloq) mtu mkali.

dragon
-fly n kerengende.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom