mm afro na wewe ni mdau wa kule kumbewakuu wa JF twaomba sana msameheni Maria Roza
kwani kuna jukwaa fulani halitaendelea vizuri bilaa yeye
..
twaomba sana wakuu..
kapigwa BAN
Kule kuna nini tena??
Halafu wewe kuchunguza chunguza BAN za watu uache. Mara Rev mara nanihiii leo MR unatafuta nini huko???
AD, Maria kaomba BAN ili aweze kumaliza shughuli zake zilizomkabili hakufanya kosa lolote. Si unajua tena jamvi hilo lilivyo addictive? Shughuli muhimu zinaweza kulala ati kwa kutaka kuchungulia huku kila dakika.
nawe ulikimbiaga wapi ??
ulikuwa unaogopa Ban.. hahha lol
kule muhimu kuchungulia chunulia tu lol..
Duhh umepotea wewe...
na una makesi balaa ngoja ni rudi kutoka kazini
ntaku PM...
take care
AD, Maria kaomba BAN ili aweze kumaliza shughuli zake zilizomkabili hakufanya kosa lolote. Si unajua tena jamvi hilo lilivyo addictive? Shughuli muhimu zinaweza kulala ati kwa kutaka kuchungulia huku kila dakika.
Aisee ni kweli kabisa, hata mimi nimeshtukia performance imepungua sana katika shughuli zangu. Kila saa nawaza kuja JF.
Kweli JF ipo so so addictive...!
AD, Maria kaomba BAN ili aweze kumaliza shughuli zake zilizomkabili hakufanya kosa lolote. Si unajua tena jamvi hilo lilivyo addictive? Shughuli muhimu zinaweza kulala ati kwa kutaka kuchungulia huku kila dakika.
nadhani una m PM Maxino au invisible halafu unaomba siku ngapi wataka wakuondoe...
duuhh na we wataka kuomba Ban nini??