Msameheni MARIA ROZA

Status
Not open for further replies.
kapigwa BAN


AD, Maria kaomba BAN ili aweze kumaliza shughuli zake zilizomkabili hakufanya kosa lolote. Si unajua tena jamvi hilo lilivyo addictive? Shughuli muhimu zinaweza kulala ati kwa kutaka kuchungulia huku kila dakika.
 
Kule kuna nini tena??

Halafu wewe kuchunguza chunguza BAN za watu uache. Mara Rev mara nanihiii leo MR unatafuta nini huko???
 
Kule kuna nini tena??

Halafu wewe kuchunguza chunguza BAN za watu uache. Mara Rev mara nanihiii leo MR unatafuta nini huko???

nawe ulikimbiaga wapi ??
ulikuwa unaogopa Ban.. hahha lol

kule muhimu kuchungulia chunulia tu lol..

Duhh umepotea wewe...
na una makesi balaa ngoja ni rudi kutoka kazini
ntaku PM...

take care
 
AD, Maria kaomba BAN ili aweze kumaliza shughuli zake zilizomkabili hakufanya kosa lolote. Si unajua tena jamvi hilo lilivyo addictive? Shughuli muhimu zinaweza kulala ati kwa kutaka kuchungulia huku kila dakika.

duuhh haya
mkuu asante sana kwa maalezo..
thats very smart actually ...
 
nawe ulikimbiaga wapi ??
ulikuwa unaogopa Ban.. hahha lol

kule muhimu kuchungulia chunulia tu lol..

Duhh umepotea wewe...
na una makesi balaa ngoja ni rudi kutoka kazini
ntaku PM...

take care

Hebu peruzi thread zote uone jinsi nilivyokumisi angalia vizuri basi na wewe acha kulalamika tu

Halafu unambie kama umeona
 
AD, Maria kaomba BAN ili aweze kumaliza shughuli zake zilizomkabili hakufanya kosa lolote. Si unajua tena jamvi hilo lilivyo addictive? Shughuli muhimu zinaweza kulala ati kwa kutaka kuchungulia huku kila dakika.

Aisee ni kweli kabisa, hata mimi nimeshtukia performance imepungua sana katika shughuli zangu. Kila saa nawaza kuja JF.

Kweli JF ipo so so addictive...!
 
Aisee ni kweli kabisa, hata mimi nimeshtukia performance imepungua sana katika shughuli zangu. Kila saa nawaza kuja JF.

Kweli JF ipo so so addictive...!

Omba kibano Mkuu hata cha siku chache ili ufanye shughuli zako za kujenga Taifa.

 
AD, Maria kaomba BAN ili aweze kumaliza shughuli zake zilizomkabili hakufanya kosa lolote. Si unajua tena jamvi hilo lilivyo addictive? Shughuli muhimu zinaweza kulala ati kwa kutaka kuchungulia huku kila dakika.


Daah asante sana kwa kujibu swali lililokuwa linaumiza kichwa changu,kila nikijiuliza kafanya nini sipati majibu,
 
Jamani huyu mama nimekubali anapendwa sana hapa jamvini. JF founder nirudie tena alitueleza kuwa kaomba mwenyewe ban ili afanye kazi kwanza, atarudi kesho!
 
Jamani huyu mama nimekubali anapendwa sana hapa jamvini. JF founder nirudie tena alitueleza kuwa kaomba mwenyewe ban ili afanye kazi kwanza, atarudi kesho!

nilifurahi sana kusikia huu ujembe ..
na asante sana na wewe kwa kuuleta tena hapa..

samahani naomba kuuliza huyu ni wewe???
 
Jamani, kwani mtu anaombaje BAN??? Mi sielewi ???!!! lol
 
Jamani, kwani mtu anaombaje BAN??? Mi sielewi ???!!! lol

nadhani una m PM Maxino au invisible halafu unaomba siku ngapi wataka wakuondoe...
duuhh na we wataka kuomba Ban nini??
 
nadhani una m PM Maxino au invisible halafu unaomba siku ngapi wataka wakuondoe...
duuhh na we wataka kuomba Ban nini??

Mmmmmh! Hapana wangu, sasa nikiomba BAN nitakuacha na nani hapa?!! Kama vipi tuombe pamoja
 
sheria imewekwa ili ifuatwe, sio kama serikali ya JK inaangalia status yako ili ikufikishe mahakamani! lol kwa stali hii tunasikia ooh MARIA ROZA mshikaji( RA, EL washikaji) tusiwa-BAN.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom