Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Nimeshtushwa na kitendo cha Mgimwa kufuta msamaha wa kodi kwa waagiza magari kwa wote waliokuwa wananufaika nao. Naomba tuelewane ni nani hasa msamaha huu ulikuwa unamfaidisha. Kwanza lzm tuelewe kuna Gvt officers na Gvt leaders.
Gvt leaders hawa ni wala nchi ambao kwenye package zao wanapewa transport, housing na mishahara ya juu kwa level za kiserikali. Hawa ndo hasa wanufaika wa semina, safari lukuki za nje na ndani ya nchi na marupurupu kibao. Kimsingi hawa ni wachache lkn ndio hao wanaomiliki mahekalu huko mbezi beach, oysterbay, masaki nk. hawa kumiliki gari sio issue, wana gari la serikali la kisasa lenye service na dereva bure, wanamiliki magari binafsi kibao nk.
Sasa hawa Gvt officers majority, ukiacha wingi wao ni wasomi wazuri tu, wengi huko serikalini, wakilipwa chini ya laki tano, wabangaizaji. Hivi kumpa ofa mfanyakazi kama huyu msamaha wa kuagiza kagari kake ka kwendea kazini tena msamaha huo ni baada ya miaka minne kuna tatizo gani? au ndo njia ya kuwafundisha wale rushwa ili wawe na uwezo wa kuagiza magari mapya?
Wahadhiri wetu wa vyuo vyote, walimu, na maafsa wa kawaida wamenufaika na kumuona Rais Mkapa kama mtu aliyejali kuinua hadhi zao. Nina uhakika watumishi hawa kilio chao mtakisikia kama alivyokianzisha Dr. Bana, achana na itikadi zake, ila na uhakika kama serikali haitakuwa sikivu lzm iadhibiwe kwa hili. Iweje bwana mahela Barrick asiguswe niguswe mimi mla chaki?
Ngoja tuone.
Gvt leaders hawa ni wala nchi ambao kwenye package zao wanapewa transport, housing na mishahara ya juu kwa level za kiserikali. Hawa ndo hasa wanufaika wa semina, safari lukuki za nje na ndani ya nchi na marupurupu kibao. Kimsingi hawa ni wachache lkn ndio hao wanaomiliki mahekalu huko mbezi beach, oysterbay, masaki nk. hawa kumiliki gari sio issue, wana gari la serikali la kisasa lenye service na dereva bure, wanamiliki magari binafsi kibao nk.
Sasa hawa Gvt officers majority, ukiacha wingi wao ni wasomi wazuri tu, wengi huko serikalini, wakilipwa chini ya laki tano, wabangaizaji. Hivi kumpa ofa mfanyakazi kama huyu msamaha wa kuagiza kagari kake ka kwendea kazini tena msamaha huo ni baada ya miaka minne kuna tatizo gani? au ndo njia ya kuwafundisha wale rushwa ili wawe na uwezo wa kuagiza magari mapya?
Wahadhiri wetu wa vyuo vyote, walimu, na maafsa wa kawaida wamenufaika na kumuona Rais Mkapa kama mtu aliyejali kuinua hadhi zao. Nina uhakika watumishi hawa kilio chao mtakisikia kama alivyokianzisha Dr. Bana, achana na itikadi zake, ila na uhakika kama serikali haitakuwa sikivu lzm iadhibiwe kwa hili. Iweje bwana mahela Barrick asiguswe niguswe mimi mla chaki?
Ngoja tuone.