ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Wanajamvi habrini.
Kuna jamaa ni ofisa mkubwa serikalini, sasa katika pitapita zangu, nimeifuma barua yake, akimwandikia katibu mkuu wake ili amwidhinishie aingize gari free bila kulipia zile kodi za kuingiza gari nchini.
Lakini nimekumbuka katika mawasilisho ya bajeti ya dr. Mgimwa, alifuta hiyo ofa ambayo baadhi ya maofisa waliona ndo njia ya kutokea, kwa kuingiza magari halafu wanakuja kuyauza.
Sasa swali ni, je, waziri mgimwa katika kuhitimisha, aliamua kuachana na mpango wake wa kuwafutia wafanyakazi wa serikali?
Au mimi sikumwelewa vizuri waziri mgimwa?
Naombeni majibu yenu wanajamvi
Kuna jamaa ni ofisa mkubwa serikalini, sasa katika pitapita zangu, nimeifuma barua yake, akimwandikia katibu mkuu wake ili amwidhinishie aingize gari free bila kulipia zile kodi za kuingiza gari nchini.
Lakini nimekumbuka katika mawasilisho ya bajeti ya dr. Mgimwa, alifuta hiyo ofa ambayo baadhi ya maofisa waliona ndo njia ya kutokea, kwa kuingiza magari halafu wanakuja kuyauza.
Sasa swali ni, je, waziri mgimwa katika kuhitimisha, aliamua kuachana na mpango wake wa kuwafutia wafanyakazi wa serikali?
Au mimi sikumwelewa vizuri waziri mgimwa?
Naombeni majibu yenu wanajamvi