Usinitakie ban ya bure ndugu yangu.Kwi kwi kwi teh teh teh! Ya ngapi?
Usinitakie ban ya bure ndugu yangu.Kwi kwi kwi teh teh teh! Ya ngapi?
Usinitakie ban ya bure ndugu yangu.
Vipi hali yake, hajambo> anarudi lini? ataendeleza migomo? vipi huyu alikuwa chadema?
Nasikia kuna kada wa CCM kauliwa Singida, vipi? mnasemaje kuhusu hilo?
Umekosa hoja unataka kuanza viroja?
Unalipwa sh ngapi ww mtoto wa kike...
kumbe mlipteka na kumpiga kwaajli ya migomo ? sasa mbona mnaanza kupeleka wehu mahakamani ? mnaogopa nini kujitokeza na kusema kuwa hamtaki migomo ?
hujamsikia kikwete?
Unalipwa sh ngapi ww mtoto wa kike...
Kijana naona umekosa adabu mimi ni babu yako kama unabisha kamuulize bibiyo Zomba unamjuwa? atakueleza.
Kikwete mzima?
Mzima wa afya na leo anapokea wageni wa Taifa, nasikia na Mbowe atakuwepo kwenye mapokezi kama Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani.