Msaliti wa Dk. Ulimboka yuko ikulu?

Status
Not open for further replies.
Vipi hali yake, hajambo> anarudi lini? ataendeleza migomo? vipi huyu alikuwa chadema?

Nasikia kuna kada wa CCM kauliwa Singida, vipi? mnasemaje kuhusu hilo?

kumbe mlipteka na kumpiga kwaajli ya migomo ? sasa mbona mnaanza kupeleka wehu mahakamani ? mnaogopa nini kujitokeza na kusema kuwa hamtaki migomo ?
 
Kwani kupokea wageni kunamwondolea sifa ya kuwa muuaji. Kashindwa kutawala sasa ana genge la wahuni kama Zomba ambao wapo tayari kuua hili kulinda hii tawala dhaifu. Jamani nchi haitawaliwi kwa kuua ni hoja , alete hoja zake tumkubali , yasije yakamkuta ya gadafi na mubaraka
 
Hakuna kisichokuwa na mwisho, na pale unapojiona wewe ndiyo above te top hapo ndipo unapoanguka kichwa chini miguu juu. Hutaki kamuulize H. Mubarak
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom