MSAKO MPAKA KWENYE
FACEBOOK
Kwataarifa tulizozipata kuwa
jeshi la polisi limeanza msako
kupitia mitandao ya jamii
hususan Facebook.
Kupitia Makao Makuu yao ya
Polisi wameweka watu maalum wanaoshulikia mitandao
ilikuona vipi watu
wanavoshajihishana kupitia
mitandao ya kijamii.ili waweze
kudhibiti yasije yakatokea
kama ya Misri kwani mitandao ndio iliosaidia kufanya
mapandizu katika nchi hizo za
KASAKAZINI mwa Afirca.
Kwa kuthibitisha hilo page yetu
kwa muda wasiku 5 hivi ilikuwa
imefungwa siwezi kufanya lolote na siwezi kutuma taarifa
yoyote.
Walizaribu kutaka kuiblock ila
kutokana page hii inaendeshwa
na wataalamu walobobea
katika fani hii hilo limeshindikana na mtego wao
leo tuliunasa.
Ila tunawatahadharisha
wazanzibar wote usi accept
mtu ambae humjui kwani sasa
wameanza kufanya operesion hiyo ya kujifanya friend na mtu
halafu waweze kumtia
mikononi.
Wanaowataka hasa wale
ambao wanaweka post ambazo
zinaelezea zanzibar tupate uhuru na zile post za kuwaunga
Uamsho. Tunatakiwa tuwemakini.
TUACHIWEE..........TUPUMUWEEE..
Source: Facebook page yao
Kwataarifa tulizozipata kuwa
jeshi la polisi limeanza msako
kupitia mitandao ya jamii
hususan Facebook.
Kupitia Makao Makuu yao ya
Polisi wameweka watu maalum wanaoshulikia mitandao
ilikuona vipi watu
wanavoshajihishana kupitia
mitandao ya kijamii.ili waweze
kudhibiti yasije yakatokea
kama ya Misri kwani mitandao ndio iliosaidia kufanya
mapandizu katika nchi hizo za
KASAKAZINI mwa Afirca.
Kwa kuthibitisha hilo page yetu
kwa muda wasiku 5 hivi ilikuwa
imefungwa siwezi kufanya lolote na siwezi kutuma taarifa
yoyote.
Walizaribu kutaka kuiblock ila
kutokana page hii inaendeshwa
na wataalamu walobobea
katika fani hii hilo limeshindikana na mtego wao
leo tuliunasa.
Ila tunawatahadharisha
wazanzibar wote usi accept
mtu ambae humjui kwani sasa
wameanza kufanya operesion hiyo ya kujifanya friend na mtu
halafu waweze kumtia
mikononi.
Wanaowataka hasa wale
ambao wanaweka post ambazo
zinaelezea zanzibar tupate uhuru na zile post za kuwaunga
Uamsho. Tunatakiwa tuwemakini.
TUACHIWEE..........TUPUMUWEEE..
Source: Facebook page yao