Hivi kwa nini huwa wanazipeleka kwa viongozi wa CHADEMA wakati sio waliowapa, toa maelekezo hizi kadi ziwe zinarudishwa ofisi za CCM.
Na aliyeanzisha huu mchezo ni nani?
Standards za Vitambulisho vingi ni kwamba, kwa nyuma huwa kinaandikwa ukikipata kimepotea ukirudishe kwa issuing authority, CHADEMA huwa wanazirudisha hizi card ofisi za CCM?
Alianzisha mchezo huo ni ccm hivyo acha tu uendelee mimi sioni ubaya wake hata kidogo.hiyo ndio inaitwa kunya anye kuku akinya bata ataambiwa kahalisha.kumbuka kuwa kuwa wote wamejisaidiatofauti ni aina ya kinyesi walichotoa.Hivi kwa nini huwa wanazipeleka kwa viongozi wa CHADEMA wakati sio waliowapa, toa maelekezo hizi kadi ziwe zinarudishwa ofisi za CCM.
Na aliyeanzisha huu mchezo ni nani?
Alianzisha mchezo huo ni ccm hivyo acha tu uendelee mimi sioni ubaya wake hata kidogo.hiyo ndio inaitwa kunya anye kuku akinya bata ataambiwa kahalisha.kumbuka kuwa kuwa wote wamejisaidiatofauti ni aina ya kinyesi walichotoa.
Standards za Vitambulisho vingi ni kwamba, kwa nyuma huwCCa kinaandikwa ukikipata kimepotea ukirudishe kwa issuing authority, CHADEMA huwa wanazirudisha hizi card ofisi za CCM?
Katika hili nawasilisha mawazo/maoni yake, Yeye Mwenyewe wakati wakampeni za Uchaguzi 2010 aliambiwa na Makamba awarudishie kadi yao, akasema harudishi sababu ni mali yake aliinunua kwa pesa zake mwenyewe.LAKINI heshima ni jambo la Bure sana Sangarara , Tafadhali kwa heshima Ng'oa Avatar uliyoweka. Si vema kutumia Picha halisi ya Mtu kama Avatar yako na kuwakilisha mawazo hasi kinyume mtazamo wa itikadi ya kisiasa ya picha ya mlengwa. Humtendei uzalendo. please badilisha Avatar yako.. amavipi tuwasilishe faili kwa Moderators uone kama hawata piga mtu BAN!! Ulalamike nimechongewa na SALMA2015.., au jikumbushe JF Rules..acha ubishi we mkaka..
Nimewakilisha