nifafanue ninia rifu.....kwani weye humuoni mshauriw a lishe kuwa ni mgonjwa...
nifafanue ninia rifu.....kwani weye humuoni mshauriw a lishe kuwa ni mgonjwa...
nifafanue ninia rifu.....kwani weye humuoni mshauriw a lishe kuwa ni mgonjwa...
nifafanue ninia rifu.....kwani weye humuoni mshauriw a lishe kuwa ni mgonjwa...
shavu dodo wakati ana goitre,shavu dodo....
okay wewe bongo amka, sema anaumwa nini?aiseeee jf ina vichwa bongo lala kweri....
nifafanue ninia rifu.....kwani weye humuoni mshauriw a lishe kuwa ni mgonjwa...
ana kula zaidi ya mwili unachohitaji, ndio maana mwili umeamua kuweka akiba ya ziada anayokula. Angalia mafuta kwenye mashavu na shingo, nadhani mi-mafuta mingine itakuwa kwenye masaburi, tumbo, moyo nk.
Hivi ukienda kuomba ushauri kwa mtu jinsi ya kulipa madeni na kabla ajaanza kukufundisha ukaona anajificha nyuma ya mlango kukwepa wadeni wake utaendelea kumsikiliza mtu huyu?
Huyu mshauri wa lishe anatoa ushauri wote bila kubakiza wa kwake au hajui lishe ni nini.
okay wewe bongo amka, sema anaumwa nini?