bwegebwege
JF-Expert Member
- Jul 30, 2010
- 1,071
- 185
Ndugu yangu anahitaji msichana au mvulana wa kusaidia kazi za ndani maeneo ya Dar es Salaam. Mshahara ni maelewano.
SIFA
- Awe muaminifu
- Awe anapenda watoto na anafahamu kuwalea watoto wa kuanzia chini ya mwaka mmoja
- Mwenye nidhamu, Upendo kwa watoto na familia
- Msafi wa mwili na mavazi
- Anayejua kupika na kukarimu wageni
- Mchapa kazi, anayezingatia sana usafi wa mazingira
- Asiwe muhuni
- Mwenye kuheshimu na kufuata maadili ya dini na ya jamii kwa ujumla.
- Awe na mtu wa kumdhamini
- Asiwe na magonjwa sugu au ya kuambukiza (mf Kifua kikuu, kifafa) au matatizo ya "kiswahili" (majini etc)
- Endapo atapatikana mwenye kuhitaji kazi hiyo basi, uhakiki wa asili na wasifu wak eutafanyika kabla hajaanza kazi.
- Familia inayohitaji msaidizi ni ya kikristo na inayothamini sana d