Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Waitara bwana kaa macho CCM wako tayari kubakia hata 2 Nchi Nzima ili mradi wawe na mapesa an madaraka .Musoma huwa inamashujaa miaka yote na hasa Tarime na Wazanaki.Ukiondoa wapuuzi wachache kama Wasira na Msekwa anayetoka Mwanza.Waitara umeanza kurudisha heshima ya Mkurya na uendelee kutetea yale wangwe amekuwa akiyaamini .
Nina funga novena kukuombea maisha marefu na ujasiri zaidi .
Teh teh teh,mkuu hayo uliyonena hapo chini ni kweli mkuu?