Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
- Thread starter
- #21
Mimi sijaona cha maana hapo,eti jk kawaonea huruma wapinzani kwenda bungeni.huyu jamaa bange zitakuwa zimemchanganya.kweli nimeamini magamba hata umpeleke new york,atabakia kuwa **** tu.
This is shameful and disgusting. Konda kuwa katibu mwenezi, Mungu Wangu tumekwisha alafu mwenye kiti ni nani?
Hawa walichaguliwa na nani?