Msaidieni uyu dada jamani.

Vivica

New Member
Jun 23, 2010
4
0
"Niko njia panda naomba ushauri jamani. Nilikuwa na rafiki wa kiume ambae kwa sasa siko nae, kisa ni siku moja alikuja kwangu kunitembelea akaondoka kwa minajili kuwa aenda kwa kikao cha harusi. Ili kuhakikisha mwenzangu kafika nyumbani salama nikapiga simu kwa bahati mbaya sikumpata. Kesho yake nikamuuliza kulikoni mbona ukuwa hewani ayo majibu yaliotoka apo acha,summary yake ni kwamba sikutakiwa kumuuliza chochote juu ya simu yake, nikajishusha sikutaka tujibizane nikaomba msamaha yaishe. Since then ukimpigia hapokei, msg hajibu, email hajibu nashindwa kumuelewa kwa kweli, kama kaniacha si aseme o anataka nn mie sijui. Hapa niko njia panda sijui nifanyaje, nimvagae nimuulize ni nn o nimwache kama halivyo, naomba ushauri!"

mnamwambiaje wana JF
 
"Niko njia panda naomba ushauri jamani. Nilikuwa na rafiki wa kiume ambae kwa sasa siko nae, kisa ni siku moja alikuja kwangu kunitembelea akaondoka kwa minajili kuwa aenda kwa kikao cha harusi. Ili kuhakikisha mwenzangu kafika nyumbani salama nikapiga simu kwa bahati mbaya sikumpata. Kesho yake nikamuuliza kulikoni mbona ukuwa hewani ayo majibu yaliotoka apo acha,summary yake ni kwamba sikutakiwa kumuuliza chochote juu ya simu yake, nikajishusha sikutaka tujibizane nikaomba msamaha yaishe. Since then ukimpigia hapokei, msg hajibu, email hajibu nashindwa kumuelewa kwa kweli, kama kaniacha si aseme o anataka nn mie sijui. Hapa niko njia panda sijui nifanyaje, nimvagae nimuulize ni nn o nimwache kama halivyo, naomba ushauri!"

mnamwambiaje wana JF

Hujui kusoma alama za nyakati dada. Wewe anza moja. Kiota kimebomoka tafuta namna ya kujenga kiota kingine. Kikao cha harusi kimezua balaaaaaaa, Pole sana
 
simu ya mkononi hiyo!
Labda na we umezid kum'track jamaa!...mpe uhuru basi, hisia zikiwa too much inaboa!
Kama hakujibu kitu, we zama hapa jF, usome mada za siasa na uchaguzi, siku zinapita, by ze tym uchaguzi unaisha ushapata mtu nyumba ya jirani!!
 
Mpe nafasi awaze yote ambayo huna majibu nayo. labda ana anayoyafikiria. usimsumbue kwa kipindi hiki kwa simu, sms wala email. after 2 weeks kama hajawasiliana nawe then umtafute.
Kama kweli anakupenda na anajua huwasiliani naye sababu ameku-shut out atawasiliana nawe as soon as he comes to his senses
 
"Niko njia panda naomba ushauri jamani. Nilikuwa na rafiki wa kiume ambae kwa sasa siko nae, kisa ni siku moja alikuja kwangu kunitembelea akaondoka kwa minajili kuwa aenda kwa kikao cha harusi. Ili kuhakikisha mwenzangu kafika nyumbani salama nikapiga simu kwa bahati mbaya sikumpata. Kesho yake nikamuuliza kulikoni mbona ukuwa hewani ayo majibu yaliotoka apo acha,summary yake ni kwamba sikutakiwa kumuuliza chochote juu ya simu yake, nikajishusha sikutaka tujibizane nikaomba msamaha yaishe. Since then ukimpigia hapokei, msg hajibu, email hajibu nashindwa kumuelewa kwa kweli, kama kaniacha si aseme o anataka nn mie sijui. Hapa niko njia panda sijui nifanyaje, nimvagae nimuulize ni nn o nimwache kama halivyo, naomba ushauri!"

mnamwambiaje wana JF

Ukiangalia trend ya mambo jinsi yanvyoenda mwenzako ana interest na wewe tena hiyo ni njia ya kuchanja mbuga kwenda kwenye himaya nyingine kwahiyo hapo kusanya kilichochako then start afresh hamna mapenzi hapo
 
Kwa nini awe njia panda? Kama mlango wa kushoto umefungwa, atazame kulia maana mlango utakuwa wazi....! Hivyo, achape zake mwendo bana...!
 
"Niko njia panda naomba ushauri jamani. Nilikuwa na rafiki wa kiume ambae kwa sasa siko nae, kisa ni siku moja alikuja kwangu kunitembelea akaondoka kwa minajili kuwa aenda kwa kikao cha harusi. Ili kuhakikisha mwenzangu kafika nyumbani salama nikapiga simu kwa bahati mbaya sikumpata. Kesho yake nikamuuliza kulikoni mbona ukuwa hewani ayo majibu yaliotoka apo acha,summary yake ni kwamba sikutakiwa kumuuliza chochote juu ya simu yake, nikajishusha sikutaka tujibizane nikaomba msamaha yaishe. Since then ukimpigia hapokei, msg hajibu, email hajibu nashindwa kumuelewa kwa kweli, kama kaniacha si aseme o anataka nn mie sijui. Hapa niko njia panda sijui nifanyaje, nimvagae nimuulize ni nn o nimwache kama halivyo, naomba ushauri!"

mnamwambiaje wana JF

Dah yaani na msamaha umeishaomba lakini mshikaji bado tu kama vipi angalia kushoto kulia kisha chapa lapa kuna watu wengine wanapenda kuwanyanyasa wenzao linapokuja suala la mapenzi hauwezi hadi unaombwa msamaha lakini still bado unaendelea kutingisha kiberiti thats too much.
 
"Niko njia panda naomba ushauri jamani. Nilikuwa na rafiki wa kiume ambae kwa sasa siko nae, kisa ni siku moja alikuja kwangu kunitembelea akaondoka kwa minajili kuwa aenda kwa kikao cha harusi. Ili kuhakikisha mwenzangu kafika nyumbani salama nikapiga simu kwa bahati mbaya sikumpata. Kesho yake nikamuuliza kulikoni mbona ukuwa hewani ayo majibu yaliotoka apo acha,summary yake ni kwamba sikutakiwa kumuuliza chochote juu ya simu yake, nikajishusha sikutaka tujibizane nikaomba msamaha yaishe. Since then ukimpigia hapokei, msg hajibu, email hajibu nashindwa kumuelewa kwa kweli, kama kaniacha si aseme o anataka nn mie sijui. Hapa niko njia panda sijui nifanyaje, nimvagae nimuulize ni nn o nimwache kama halivyo, naomba ushauri!"

mnamwambiaje wana JF

yani kwenye urafiki tu unapewa masharti? ikifika next level je na ndoa itakuwaje?
yani huyu hana mpango nawe japo hajakuambia ndio ameshakuacha, si wajua tena akufukuzae hakuambii toka!
 
Kwa nini awe njia panda? Kama mlango wa kushoto umefungwa, atazame kulia maana mlango utakuwa wazi....! Hivyo, achape zake mwendo bana...!
Mrembo usipoteze muda kwa kuwa njia panda mwisho utapata kizunguzungu uanguke bure,,angalia mbele coz inaonyesha jamaa hana interest na wewe tena love is two way traffic kama wewe tu ndo unatoa mpendwa shtuka and move on
 
hapo hakuna mapenzi tena,na hizo ndio dalili za kuwa huyo mtu hakutaki tena,jaribu na wewe kukaa kimya,usimtafute kwa njia yoyote .ile.Wanaume wengine wanapenda kujifanya wao ni muhimu sana
 
Huyo sio wako tena.....Hata akirudi atakusumbua baadae kwenye mahusiano nyeti zaidi.Mshukuru Mungu amekufunulia mapema na mwombe akupe wako..
 
simu ya mkononi hiyo!
Labda na we umezid kum'track jamaa!...mpe uhuru basi, hisia zikiwa too much inaboa!
Kama hakujibu kitu, we zama hapa jF, usome mada za siasa na uchaguzi, siku zinapita, by ze tym uchaguzi unaisha ushapata mtu nyumba ya jirani!!
zingatia hapo kny red na mengineyo ambayo yanaweza kukukip busy n forget HIM
 
yani kwenye urafiki tu unapewa masharti? ikifika next level je na ndoa itakuwaje?
yani huyu hana mpango nawe japo hajakuambia ndio ameshakuacha, si wajua tena akufukuzae hakuambii toka!

watu wengine kuachwa mpaka wafungiwe novena...mbona huyo mkaka kashamuacha kuanzia hiyo cku mdada alivyohoji?
 
Hapo dada nakushauri, bora uangalie ustaarabu mwingine. Huyo jamaa hana mpango na wewe! Jipe moyo! Ndiyo maisha hayo!

***Pia inawezekana huyu jamaa hajui kitu ila huyu mhudumu alimpenda na akaamua kufanya hivyo make anajua atakwenda kuulizwa na mkewe, basi ndio atakuwa amempata labda kwa namna ya kumkomoa!
 
Hapo dada nakushauri, bora uangalie ustaarabu mwingine. Huyo jamaa hana mpango na wewe! Jipe moyo! Ndiyo maisha hayo!

***Pia inawezekana huyu jamaa hajui kitu ila huyu mhudumu alimpenda na akaamua kufanya hivyo make anajua atakwenda kuulizwa na mkewe, basi ndio atakuwa amempata labda kwa namna ya kumkomoa!

CBZ naona umechanganya hii topic na ile nyingine
 
Mbona anakusumbua akili hapo anza kufikilia upya maisha yako bila yeye..pole sana ni vijimambo tu vya kwenye mahusiano shurti kuvikabili
 
Bi dada unaonyesha huyo mtu unampenda sana,swali lako umeenda kulipeleka kwengine,na wengi wamekushauri huyo mtu hana mapenzi na wewe.Bila shaka umeamini maana kupenda kubaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom