Vivica
New Member
- Jun 23, 2010
- 4
- 0
"Niko njia panda naomba ushauri jamani. Nilikuwa na rafiki wa kiume ambae kwa sasa siko nae, kisa ni siku moja alikuja kwangu kunitembelea akaondoka kwa minajili kuwa aenda kwa kikao cha harusi. Ili kuhakikisha mwenzangu kafika nyumbani salama nikapiga simu kwa bahati mbaya sikumpata. Kesho yake nikamuuliza kulikoni mbona ukuwa hewani ayo majibu yaliotoka apo acha,summary yake ni kwamba sikutakiwa kumuuliza chochote juu ya simu yake, nikajishusha sikutaka tujibizane nikaomba msamaha yaishe. Since then ukimpigia hapokei, msg hajibu, email hajibu nashindwa kumuelewa kwa kweli, kama kaniacha si aseme o anataka nn mie sijui. Hapa niko njia panda sijui nifanyaje, nimvagae nimuulize ni nn o nimwache kama halivyo, naomba ushauri!"
mnamwambiaje wana JF
mnamwambiaje wana JF