rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 145
Wana JF,
Naomba mnisaidie tatizo hili linalonisumbua sana maishani.
Mwanangu ana umri wa miaka 5 na nusu.Na alizaliwa bila tatizo na kwa njia ya kawaida.
Ni msichana.
Tatizo lake kubwa alilonalo ni kutokwa na haja kubwa bila kujijua.
Tumejaribu wataalamu wengi hapa MWZ/TZ lakini tumeshindwa.
Kama kuna Hospitali au Dr.popote hapa duniani naomba nijulishwe nitaomba likizo nimfuate bila kujali gharama.
Tatizo hilo si muda wote lakini najiuliza akianza darasa la kwanza itakuwaje. Ana akili sana na hana tatizo lingine lolote. Kukojoa anakojoa vizuri kabisa na hata kujisaidia,ila hizi incidences za kujisaidia bila kujijua linatusumbua sana kama familia,pamoja na sala tunazoendelea nazo na maombi lakini tunahitaji pia msaada wa utabibu.
Asante. rakeyescarl@yahoo.ie
Naomba mnisaidie tatizo hili linalonisumbua sana maishani.
Mwanangu ana umri wa miaka 5 na nusu.Na alizaliwa bila tatizo na kwa njia ya kawaida.
Ni msichana.
Tatizo lake kubwa alilonalo ni kutokwa na haja kubwa bila kujijua.
Tumejaribu wataalamu wengi hapa MWZ/TZ lakini tumeshindwa.
Kama kuna Hospitali au Dr.popote hapa duniani naomba nijulishwe nitaomba likizo nimfuate bila kujali gharama.
Tatizo hilo si muda wote lakini najiuliza akianza darasa la kwanza itakuwaje. Ana akili sana na hana tatizo lingine lolote. Kukojoa anakojoa vizuri kabisa na hata kujisaidia,ila hizi incidences za kujisaidia bila kujijua linatusumbua sana kama familia,pamoja na sala tunazoendelea nazo na maombi lakini tunahitaji pia msaada wa utabibu.
Asante. rakeyescarl@yahoo.ie