MsakaGamba
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 392
- 141
Great thinkers.
Najua kuna watu hawajali matatizo ya wenzao au hata kufika hatua ya kutoa maneno au kauli mbaya zisizo na tija nawaomba katika hili mnisaidie ndugu zangu.
Mke wangu ana tatizo la kutofika kileleni, tunaweza kufanya nikamuandaa muda mrefu na hata wakati wa kufanya nikafanya jitihada na utundu wote, nikaenda hata mishindo mitatu au minne lakini yeye hafiki kileleni.
Huwa anasikia ile raha ya kukaribia kufika lakini ghafla hupotea na huishiwa hamu ya kuendelea kufanya kabisa na mara zote huishia kulia tu kwa uchungu. Namuonea huruma sana mke wangu jamani.
Hili tatizo sasa hivi lina karibia miaka 2.
Naombeni msaada.
Najua kuna watu hawajali matatizo ya wenzao au hata kufika hatua ya kutoa maneno au kauli mbaya zisizo na tija nawaomba katika hili mnisaidie ndugu zangu.
Mke wangu ana tatizo la kutofika kileleni, tunaweza kufanya nikamuandaa muda mrefu na hata wakati wa kufanya nikafanya jitihada na utundu wote, nikaenda hata mishindo mitatu au minne lakini yeye hafiki kileleni.
Huwa anasikia ile raha ya kukaribia kufika lakini ghafla hupotea na huishiwa hamu ya kuendelea kufanya kabisa na mara zote huishia kulia tu kwa uchungu. Namuonea huruma sana mke wangu jamani.
Hili tatizo sasa hivi lina karibia miaka 2.
Naombeni msaada.