magari zaidi ya 57 yakishiriki katika msafara huo na barabara kufungwa kwa zaidi ya saa tano kwa ajili ya kusubiri msafara wake kupita.
Wewe umeamka asubuhi kwenda kutafuta riziki ya wanao - halafu barabara inafungwa 5 hours or more - kisa - barabara inafunguliwa - its high time tuache mambo ya kupotezeana muda - kwani kufungua barabara inamhusu kila mtu?? na kama kuna wagonjwa wanaenda hospitali je?? Urasimu na time wasters ndio shida kubwa ya nchi yetu - thinking capacity yetu ni very low - mie nashangaa ndege hadi ya kukodi - halafu wanasema hakuna hela wananchi ndio wabane matumizi wakati viongozi na matajiri wanatanua - its not fair - watoto shule hawana madeski halafu kiongozi anakodisha ndege ya ziada toka kenya - this is mismanagement of public funds - sijui kama tutapona hii nchi - bora tuwekeze mbinguni tunakoenda soon -
Wewe umeamka asubuhi kwenda kutafuta riziki ya wanao - halafu barabara inafungwa 5 hours or more - kisa - barabara inafunguliwa - its high time tuache mambo ya kupotezeana muda - kwani kufungua barabara inamhusu kila mtu?? na kama kuna wagonjwa wanaenda hospitali je?? Urasimu na time wasters ndio shida kubwa ya nchi yetu - thinking capacity yetu ni very low - mie nashangaa ndege hadi ya kukodi - halafu wanasema hakuna hela wananchi ndio wabane matumizi wakati viongozi na matajiri wanatanua - its not fair - watoto shule hawana madeski halafu kiongozi anakodisha ndege ya ziada toka kenya - this is mismanagement of public funds - sijui kama tutapona hii nchi - bora tuwekeze mbinguni tunakoenda soon -