Anko Sam
JF-Expert Member
- Jun 30, 2010
- 3,200
- 820
Kumekucha Tanzania-mikoani. Dar es laaam sijui kula matende na halua ndio kunafanya vijana kuwa legelege?
Vijana wa Dar Joto limeyeyusha ubongo wao.
Kumekucha Tanzania-mikoani. Dar es laaam sijui kula matende na halua ndio kunafanya vijana kuwa legelege?
Hata mimi nashangaa jiji la dar mbona mmelala?
Kwa sababu hii nina waunhga mkono vija wa mbeya kwa 100%....na wengine tuunge mkono sikwa mawaziri tu bali zoezi liendele kwa wote wanaotumia mali za serikali vibaya...Kwa mujibu wa gazeti la mwananchi la leo, msafara wa waziri wa mambo ya ndani mh. Nahodha umepigwa mawe na vijana wa huko tunduma. Kisa ni kwamba vijana hawakufuruhishwa na kitendo cha kumuona waziri akitumia magari ya serikali akiwa katika shughuli za kuimarisha chama chake huko Mbeya. Vijana wanahoji kwa nini rasimali hizo zisitumike kusaidia wananchi wengine kama vile wagonjwa walioko hospitalini? Hivi ndivyo nchi yetu inavyokwenda kwa sasa.
Source: Mwananchi
Kama boss wake alitandikwa na hakutoa amri hiyo yeye ndiyo atawaweza ana anadhani ni wa-znz...Naodha anatoa amri washughulikiwe,anawachokoza mwenyewe watu wa Mbeya,alafu baadae waanze kumsumbua Sugu.
Ni wana-ccm wachache sana wanaokubalika Mbeya kwa sasa, hasa baada ya saga ya Mwakyembe na afya yake. Sijui kama Mh Nahodha anafahamu hili. Pia kitendo cha waziri kusema watu washughulikiwe ni uchokozi. Waziri anakumbuka fujo za mwaka jana? sio polisi, JKT au JWTZ waliweza kuwatuliza. Kama hakutokeza Sugu leo hii tungekuwa tunaongelea mambo mengine.
Kama kusapoti mambo yaliyo fanywa na wana Tunduma ni kuchochea acha tuitwe wachochezi maana siwezi kufumba macho kwa jambo jema kama hili.....Safi sana wana Tunduma, wadau nisionekane mchochezi hapa, kwa kweli haingii akilini waziri kutumia gari la serikali kwa shughuli za chama. Mungu wabariki wana mbeya wote.
Yaani pale dar wanatakiwa makamanda kama Lema, Tindu Lissu, Wenje, Sugu, nk waweke kambi kuamcha vijana mimi naona bado wamelala kama wangekuwa wameamka kama mbeya au Arusha sijui hali ingekuwaje pale magogoni.............Kule dar ujuaji mwingi kuna jukumu la kuwakomboa hao watu
Kumekucha Tanzania-mikoani. Dar es laaam sijui kula matende na halua ndio kunafanya vijana kuwa legelege?
Nyinyi mnafurahia watu kurusha mawe akili zenu kidogo zina mafuta ya taa mawe hayabadilishi madaraka pakichukuliwa hatua za kisheria hakika nyinyi ndio mwanzo kusema serekali inaonea raia zake la muhimu ukifika uchaguzi watu wende kwa wingi kupiga kura na kuleta mageuzi sio mawe wala maandamano ya sio kuwa na tija
kwa hiyo yeye yuko juu ya sheria?aache jazba zake zisizo na msingi,wananchi wamefikisha ujumbe stahiki,utatumiaje rasilimali za nchi au fedha za walipa kodi kwa manufaa ya chama chako?waangalie haya mambo yasije kugeukia kwao huko mbeleniNaodha anatoa amri washughulikiwe,anawachokoza mwenyewe watu wa Mbeya,alafu baadae waanze kumsumbua Sugu.