Kwa mujibu wa gazeti la mwananchi la leo, msafara wa waziri wa mambo ya ndani mh. Nahodha umepigwa mawe na vijana wa huko tunduma. Kisa ni kwamba vijana hawakufuruhishwa na kitendo cha kumuona waziri akitumia magari ya serikali akiwa katika shughuli za kuimarisha chama chake huko Mbeya. Vijana wanahoji kwa nini rasimali hizo zisitumike kusaidia wananchi wengine kama vile wagonjwa walioko hospitalini? Hivi ndivyo nchi yetu inavyokwenda kwa sasa.
Source: Mwananchi
Source: Mwananchi