BOKO HAARAM
Member
- Oct 18, 2011
- 32
- 6
Taarifa zinasema msafara wa makamu wa raisi dk gharib bilal,umepata ajari jijini dar leo baada ya gari iliyo kuwa ikiendeshwa na mama mmoja aliye kuwa akinywa maji ya dafu(nazi changa) kuuingilia ghafla na kumgöga trafik aliye kuwa anaendesha piki piki iliyo kuwa inaongoza msafara huo,mpaka muda napost taarifa hii trafik amepelekwa hospitali kupata matibabu na huyo mama aliye sababisha ajari yupo mbaroni pale kituo cha police salenda.