msaada

Danp36

JF-Expert Member
Jul 31, 2010
2,097
920
jamani ma dr,naomba msaada,kuna rafiki yangu anampdnzi anataka kumchumbia,lakni mpenzi wake alimwamaia kuwa kafanyiwa fgm.female genital multilation yaan amekeketw,na huwa nasikia huwa hawapati hisia za kuwa na mwanaume,je ni kweli huwa hawapati hisia?,maana anaogopa isije ikawa shida ndani ya ndoa.msaada dr.maana anasema hawajawah fanya mapenzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom