naomba msaada mm before nilikuwa nina hamu tu vizuri ya kufanya mapenzi ila siku hizi sina hamu kabisa,nisaidieni
sasa ww kbd ndio nn sasa..mbona hujanipa ushauri sasa?
Mshukuru Mungu sana. Tanzania bila ukimwi inawezekana kabisa.
naomba msaada mm before nilikuwa nina hamu tu vizuri ya kufanya mapenzi ila siku hizi sina hamu kabisa,nisaidieni
Mkuu situmai pole sana ninakupa Dawa yangu hii fanya hivi: Dawa ya Kuamsha tamaa ya Kufanya tendo la ndoa (Sex) kwa Mwanamke na kwa Mwanamme,naomba msaada mm before nilikuwa nina hamu tu vizuri ya kufanya mapenzi ila siku hizi sina hamu kabisa,nisaidieni
Kuna kitu kinautwa super gift tumia iyo dawa kwa mwezi 1 afu utaona kinu kitakavyoanza kuchemka.
MziziMkavu, mimi hamu ninayo lakini naona nguvu zinaniishia nikiwa na mke wangu, ila nje napiga goli hata 4 bila wasiwasi, inakuwaje? Na hilo yai unachemsha na tangawizi ama?