natumia nokia 6120c,nna wiki sasa inagoma kusoma memory card,inasema file corupted ,nimebadili memory card zaidi ya 2 lakn wapi.ukiweka mpya inasoma baada ya kama lisaa limoja inagoma inasema file corupted lkn hyo hyo card ukiweka kwa cmu nyngne inasoma.tatizo inaweza ikawa ni nn na nn soln yake. Msaada wadau