Msaada

MSUNZU

Member
Dec 9, 2011
35
4
Wana jf nauliza haiwezekani kuongeza nguvu dishi la futi 6 liweze kukamata kama la futi 8
 
kwa sasa napata tbc1.na channel ten.nifanyeje nipate eatv,itv. Kupitia dish la futi 6 tafadhali naomba umnijulishe niko mombasa,Kenya.
 
Wana jf nauliza haiwezekani kuongeza nguvu dishi la futi 6 liweze kukamata kama la futi 8

Dishi la futi sita haliwezi kufikia dishi la futi nane bali unaweza ukaliongezea nguvu kwa kupata signal kubwa kwa kubadilisha LNB, LNB za C band zipo za aina mbili
kuna C band single solution na C band ya kawaida C band single solution inanguvu kubwa ya kuongeza signal kuliko C band ya kawaida


C Band Single Solution Cable!!

dish n single.jpg


Hii ni kwa wale wanaokaa sehemu zenye shida kupatikana Signal,kama mabondeni,karibu na minara ama wamezungukwa na mitambo mitambo watu wa mkowani
C band hii hutumika kwenye Dish ya C band tu ijapokuwa kuna KU ambazo zinahimili interference pia kama ilivyo hii isipokuwa mara nyingi KU hata kwenye interference inakama Signal vizuri!!
Tazama tofauti yake kimuonekano:

single.jpg

Hii ni C Band Single Solution Cable


cband.jpg


Hii ni C Band ya kawaida
Pia katika uingizaji wa freeguency kuna tofauti kati ya c band ya kawaida na c band single solution!!
Ambapo kwa single solution unatoa 600 za upande mmoja.
Mf: frequency ya ITV,EATV,CAPITAL-F3642 S8545V (F3042 S8545V),hivyo za V zote unatoa 600 isipokuwa za H hutoi!!!

tofauti single solution ina kichwa kikubwa kuliko LNB ya kawaika
 
Dishi la futi sita haliwezi kufikia dishi la futi nane bali unaweza ukaliongezea nguvu kwa kupata signal kubwa kwa kubadilisha LNB, LNB za C band zipo za aina mbili
kuna C band single solution na C band ya kawaida C band single solution inanguvu kubwa ya kuongeza signal kuliko C band ya kawaida


C Band Single Solution Cable!!

View attachment 47114


Hii ni kwa wale wanaokaa sehemu zenye shida kupatikana Signal,kama mabondeni,karibu na minara ama wamezungukwa na mitambo mitambo watu wa mkowani
C band hii hutumika kwenye Dish ya C band tu ijapokuwa kuna KU ambazo zinahimili interference pia kama ilivyo hii isipokuwa mara nyingi KU hata kwenye interference inakama Signal vizuri!!
Tazama tofauti yake kimuonekano:

View attachment 47112

Hii ni C Band Single Solution Cable


View attachment 47113


Hii ni C Band ya kawaida
Pia katika uingizaji wa freeguency kuna tofauti kati ya c band ya kawaida na c band single solution!!
Ambapo kwa single solution unatoa 600 za upande mmoja.
Mf: frequency ya ITV,EATV,CAPITAL-F3642 S8545V (F3042 S8545V),hivyo za V zote unatoa 600 isipokuwa za H hutoi!!!

tofauti single solution ina kichwa kikubwa kuliko LNB ya kawaika

Fatma, inaonekana wewe mkali ya haya mavituzi. Kama ni hivyo tuwasiliane ili unisaidie LNB zangu zinazungua sana. Asante.
 
Nakushukuru sana da fatma kwa mchango wako nitaufatilia. Once again thanx.
 
Attachment 47112

Hii ni C Band Single Solution Cable


uzuri wa hii single solution mnaweza kutumia hata nyumba mbili kwa LNB moja na kila mtu akatazama channel anayoitaka haina cha mambo ya verical wala horizontal ile ya kawaida mwenzako akitazama channel za vertical na wewe mpaka uweke channel za vertical
lakini hii ya single solution mwenzako akitazama ITV wewe unaweza ukaweka TBC au star tv
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom