benisrael
Member
- Dec 28, 2011
- 12
- 5
jamani naomba msaada wa ushauri nina rafiki wa kalamu kutoka ivory cost,ila kwa sasa yuko kwenye kambi ya wakimbizi senegal baada ya kutokea machafuko na wazazi wake wote kuuwawa,
sasa ameniomba nimsaidie kuhamishe fedha za marehemu baba yake kwenda kwenye benki yoyote hapa tz.kwani anadai hana ndugu yeyote anayeweza kuwasiliana naye kwa sasa.
sasa ameniomba nimsaidie kuhamishe fedha za marehemu baba yake kwenda kwenye benki yoyote hapa tz.kwani anadai hana ndugu yeyote anayeweza kuwasiliana naye kwa sasa.