Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Kunashairi moja linasema
"Watoto msishangae, kujamba ni kupumua.
Upepo ukishapita, ushuzi unapungua.."
mmh nini kinanuka jamani mhmh!!
Kunashairi moja linasema
"Watoto msishangae, kujamba ni kupumua.
Upepo ukishapita, ushuzi unapungua.."
Hivi ikitokea umebanwa na kujamba halafu mbele ya watu wa heshima utafanyaje?
Ile unajiandaa kuliachia tu,Ngeleja ananyakua nishati yake ....!?
haha.unajamba alafu unasema "kujamba ni kupumua.kujamba ni kusafisha tumbo".
Haitakuwa ishu, ila mtu wa heshima akijamba mbele ya wa2 ndio noma.