Msaada!!

B'REAL

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
4,279
2,733
habari wa ndugu,mimi ni kijana na elemu ya degree ya mass communication,nataka kujiendelezaa zaidi,ila tatizo ni kwamba sina kipato cha kuweza kuendelea kufanya master?nina maswali mawili ningeomba kusaidiwa kujuaa zaidi...1}je kufanya master ya marketing au public ralation ipi ni markertable kwa sasaa? 2]je ninjia gani naweza kuzitumia kupata sponsor iwe ya serekali au taasisi au mtu binafsi?naitaji mawazo yenu wana jamvinii...
 
Back
Top Bottom