Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,336
Hamjambo wataalam!?
Nimechoka kunununua charger mpya kila siku kwahiyo naombeni msaada/mwongozo wa kutatua tatizo langu.Nna kimeo changu(laptop) cha HP 550 kwa miaka miwili sasa,...kinanitesa kweli.Nineshanunua charge mpya mara tatu nikitumia baada ya wiki mbili tatu inaungua na kuyeyukia mbali...literally!
Yani kale kapini kanapata moto mpaka kanaungua/yeyuka!!
Embu nisaidieni jinsi ya kutatua hili tatizo mwenyewe kimya kimya.Ushauri wa kupeleka kwa fundi au kununua mpya mezeeni tu maana ni pesa sina!!
Asanteni......!
Nimechoka kunununua charger mpya kila siku kwahiyo naombeni msaada/mwongozo wa kutatua tatizo langu.Nna kimeo changu(laptop) cha HP 550 kwa miaka miwili sasa,...kinanitesa kweli.Nineshanunua charge mpya mara tatu nikitumia baada ya wiki mbili tatu inaungua na kuyeyukia mbali...literally!
Yani kale kapini kanapata moto mpaka kanaungua/yeyuka!!
Embu nisaidieni jinsi ya kutatua hili tatizo mwenyewe kimya kimya.Ushauri wa kupeleka kwa fundi au kununua mpya mezeeni tu maana ni pesa sina!!
Asanteni......!