Mkuu kwa uelewa wangu kuna speed inayotolewa na isp na kuna speed ile simu yako inaweza kupokea, so kama isp wako anatoa speed ya 3.1mpbs huwezi tumia kitu chochote kuongeza speed hiyo na kama simu yako inauwezo wa kupokea speed fulani theres nothing you can do maana huo ndio uwezo wake.je kuna uwezekano wa kuongeza speed ya internet kwakutumia simu km modem?