donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,519
Joseph na Joyce ni wanandoa wanaoishi pamoja. Jose aliamua kumleta mdogo wake wakiume Jonathan kuja kuish nao. Mda si mrefu Jose akapata safar ya kikazi Kualalumpar na kumwacha mdgo wake na mkewe tanzania. Muda ulipita huku Jonas na Joyce wakiishi bila matatizo yoyote. Pale nyumbani walikua wanaogea bafu moja aina ya bath tub(kama sinki lakuogea). Jonas alikua na mtndo wakujichua(masturbation) akiwa anaoga,na kama inavobainika kisayans kwamba manii huweza kukaa kwenye conducive environment kwa muda wa siku 2-3 alive. Joyce baada ya muda mfupi akajakugundua kua ni mjamzto bila kujua kilichosababisha. Naam,bwana Jose kapga simu anawasili nchni. Je,joyce atamweleza nin jose aweze kumwelewa? Naomba maön yako