Nassor Mwanaharakati
Member
- Dec 13, 2011
- 34
- 1
Jamani naomba kusaidiwa kuandaa front page amabayo iwe kama mitihani ya Necta iwe na necta necta necta nyingi . Nifanyaje
Lengo lako ni nini? Sema usahidiwe.Jamani naomba kusaidiwa kuandaa front page amabayo iwe kama mitihani ya Necta iwe na necta necta necta nyingi . Nifanyaje
Lengo lako ni nini? Sema usahidiwe.
Nadhani unataka kuweka kitu kinaitwa "Watermark".
Anzia hapa kwenye hii tovuti unaweza ku google pia.Ukikwama fafanua usaidiwe au tafuta mtaalam wa Internet cafe wape mshiko watakufanyia fasta .
Otherwise fafanua vizuri tatizo usomeke